Close

Ndugu nakusalimu
kwa jina la YESU KRISTO,

ambaye ndiye Bwana na Mwokozi wa Mataifa yote, pia ndiye Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana na hapana Mfalme mwingine zaidi yake. Mimi jina langu naitwa Hebron Wilson Kisamo,

Read More

Publications

mafundisho na vipindi vya Mtume na Nabii Hebron vinapatikana katika njia mbalimbali.

Need Prayer? We Would Love To Pray For You.

We have a strong sense of community with parishioners.

Ndugu msomaji usiogope, huu ndio ukweli halisi alioniambia mwenye kanisa, yaani YESU. Mengi utayakuta kwenye vitabu nilivyoviandika, CD na DVD. Hakika utafunguka ufahamu wako utajua jinsi KANISA lilivyotekwa na shetani. Na zaidi, YESU alipokuwa akinifundisha, alinionyesha na kunifunulia ulimwengu wote, jinsi ulivyo kwa sasa, akasema watumishi ndio wanatumiwa 98% kuliharibu KANISA. Kwa mfano aliniambia, idadi kubwa ya watumishi wakubwa ulimwenguni ni member wa freemason, akaniambia hao sio watumishi wake.

Haijalishi wanalitumia jina lake, hao ni manabii wa uwongo, na asili yao ni manabii wa uwongo, na mengine mengi utayakuta huku kwenye website na kwnye blog; YESU ameshuka Tanzania kupitia watu wake ila wale waovu wataangamia tu, shimo la moto linawasubiri. Kuzimu nimeshafunga milango ambayo watumishi na wachawi waliyokuwa wanapitia kwenda kuchukua nguvu hamna tena na hawana msaada tena. Mwisho wao umefika. Na sasa utukufu wa KANISA la mwisho umetimia, kuzimu haina nguvu na hawaliwezi KANISA LA YESU NI BWANA NA MWOKOZI WA MATAIFA YOTE. YESU aliponipa ujumbe huu, nilikuwa kazini Serengeti katika kazi niliyokuwa nafanya ya utalii (Professional Driver Guide), niliogopa sana maana sikuwahi kumuona YESU “live live”. Siyo kitu cha kawaida, ukuu wake unatisha. Mengi utayakuta ndani ya website hii na nitaendelea na kila ujumbe anaonipa kukufikishia wewe kwa njia hii. Ufunuo wa Yohana 1:8

Siku za ibada

KUMBUKA, HUDUMA YA MAOMBI NA UPONYAJI NI BURE (Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma,toeni pepo; mmepata bure, toeni bure. Mathayo 10:8)

Jumanne saa tatu asubuhi hadi saa saba na nusu mchana

Ibada ya ukombozi

Ijumaa saa tisa alasiri hadi saa kumi na mbili jioni

Ibada ya majibu

Jumapili saa tatu asubuhi hadi saa saba na nusu mchana

Ibada ya Jumapili

St. Mathew 11:28

Come unto me, all you that labor and are heavy laden, and I will give you rest. Take my yoke upon you, and learn of me; for I am meek and lowly in heart: and you shall find rest unto your souls.

St. Mathew 11:28

Upcoming Events

You can become a part of our church or a volunteer to help

Our Gallery

We invite anyone and everyone to attend us for a prayer

Mtume na Nabii

Hebron Wilson Kisamo

Mimi jina langu naitwa Hebron Wilson Kisamo, YESU amenichagua nimtumikie yeye kwa jinsi anavyotaka yeye ili kukomboa ulimwengu huu ambao umepotea na shetani ameumiliki kwa asilimia 98% sawa sawa na YESU alivyoniambia mwenyewe. Amenituma ulimwengu wote ikiwa inamaana nchi zote, mabara yote. Ujumbe huu aliniagiza rasmi na kunipa mamlaka yake tarehe 14.06.2010. Na akanipa jina la Kanisa lake niliite YESU NI BWANA NA MWOKOZI WA MATAIFA YOTE INTERNATIONAL MINISTRY.

Shuhuda

Listen to podcasts of our church
Daste and see that the Lord is good blessed is the man who
by Anna Jonson
Our church is open and friendly with many social activities
by Anna Jonson
Mission Ministry Monthly Meeting
by Anna Jonson
view more podcasts

From The Blog

Come and check out the latest news from our church life